News
Mafunzo ya kilimo endelevu kwa Maafisa Ugani na Wakulima Halmashauri ya Wilaya Mlimba kupitia Mradi wa FOLUR.
June 15, 2026
By Rashid Ligaya
Uandaaji wa kitalu kwa vitendo( Mat Nursery)
Maafisa Ugani na Wakulima wakishirikiana kuandaa kwa vitendo Kitalu Mkeka cha zao la Mpunga