MAFUNZO YA ELIMU YA JINSI NA JINSIA KATIKA KILIMO CHA MPUNGA
News Training

MAFUNZO YA ELIMU YA JINSI NA JINSIA KATIKA KILIMO CHA MPUNGA

June 16, 2026 By Rashid Ligaya

Katika kujifunza Mbinu bora za Kilimo Wakulima na Maafisa Ugani katika Halmashauri ya Mlimba wamepata Elimu ya suala zima la jinsi na jinsia.


Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya Mlimba akieleza wa kulima wa kata ya Mchombe Kijiji cha Mkusi suala la jinsia katika shughuli za kilimo.
Back to News & Events
Details
Published Date:

June 16, 2026

Category:

News

Type:

Training